Paroles de la chanson Happy Birthday par Sholo Mwamba

Chanson manquante pour "Sholo Mwamba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Happy Birthday"

Paroles de la chanson Happy Birthday par Sholo Mwamba

Nikiwaita mnakuja mnapiga makofi nyie
Nikiwaita mnakuja mnapiga makofi leo
Nikiwaita mnakuja mnapiga makofi nyie
Nikiwaita mnakuja mnapiga makofi leo

Akina mama cheza leo
Haya wanangu cheza leo
Msipocheza atawajua nani?
Msipocheza atawajua nani?

Tunacheza mpaka asubuhi
Tena wanangu mpaka asubuhi
Siku ya leo furaa tunafurahi
Songa karibu usicheze mbali

Tunacheza mpaka asubuhi
Tena wanangu mpaka asubuhi
Siku ya leo furaa tunafurahi
Songa karibu usicheze mbali

Ah DJ achia ngoma kali
Ukikikata kata keki ikate waone
Wenye roho mbaya na namba waisome
Ukikikata kata keki ikate waone
Wenye roho mbaya na namba waisome

Mi nauliza kuna nini? (Happy Birthday)
Ah tucheze tufurahi (Happy Birthday)
Mi nauliza kuna nini? (Happy Birthday)
Basi tucheze tufurahi (Happy Birthday)

Shuhulia mwanangu 
Mi nasema nitalimwaga kojo
Shuhulia mwanangu 
Mi nasema nitalimwaga kojo

Mkojo, mkojo, mkojo kojo kojo
Mkojo, mkojo, mkojo kojo kojo

Ngoma bila kulewa nitaichezaje mie 
Ngoma bila kulewa nitaichezaje mie 
Msinikataze kulewa, niache nilewe
Msinikataze kupiga, niache nilewe

Sio chigiri, wanzuki cha mkung'u 
Ukinipa mi mwenzako mi nalewa
Sio chigiri, wanzuki cha mkung'u 
Ukinipa mi mwenzako mi nalewa

Ah DJ achia ngoma kali
Ukikikata kata keki ikate waone
Wenye roho mbaya na namba waisome
Ukikikata kata keki ikate waone
Wenye roho mbaya na namba waisome

Mi nauliza kuna nini? (Happy Birthday)
Ah tucheze tufurahi (Happy Birthday)
Mi nauliza kuna nini? (Happy Birthday)
Basi tucheze tufurahi (Happy Birthday)

Nipe tena, we fungua champagne, champagne
Nipe tena, we fungua champagne, champagne
Basi tena si kuna maji (Tumwamwagie)
Basi tena si kuna maji mama (Tumwamwagie)
Weka tena  si kuna maji (Tumwamwagie)
Na si kuna maji mwamba (Tumwamwagie)

Kwanza na hizo pombe (Tumwamwagie)
Na hizo bia (Tumwamwagie)
Ona kwanza na hizo pombe (Tumwamwagie)
Na hizo bia (Tumwamwagie)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment