Paroles de la chanson Ukinitekenya par Shilole

Chanson manquante pour "Shilole" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Ukinitekenya"

Paroles de la chanson Ukinitekenya par Shilole

Records

Forwardi
Piga mashooti mashepu achana naye
Usije fungua ka zipu, ukaumia roho
Wacha wetu usiwape gepu wakome ng'oo

Mashallah!
Ushajua nakupenda, linga 
Linga waba mpaka nikomoke
Eeh wallah, kweli penzi ni kidonda 
Vimba, piga msamba mpaka nichanike

Mmmh kanipa moto moto, kanitoa baridi
Kaacha utoto utoto, kajiona zaidi
Mapenzi kipima joto, kanipima baridi
Ulipo na mimi nipo, kikubwa nifaidi

Mwenzako beiby 
Kanachonyota, kana chonyota
Kana ungua ungua go, kanachonyota
Ooh beiby, kanachonyota

Aah aah 
Ukinitekenya usiguze kwenye mbavu
Ukinitekenya naona raha 
Ukinitekenya usiguze kwenye shingo
Ukinitekenya naona raha 

Ukinitekenya usiguze kwenye mbavu
Ukinitekenya maana naona raha 
Ukinitekenya usiguze kwenye shingo
Ukinitekenya aah naona raha 

Fungua macho papasa, kama sabuni takasa
We fungua mikitasa, nishadataa
Cheza bolingo chakacha, kizunguzungu zunguka
Kama masai naruka, nishadataa

Mashallah!
Ushajua nakupenda, linga 
Linga waba mpaka nikomoke
Eeh wallah, kweli penzi ni kidonda 
Vimba, piga msamba mpaka nichanike

Mmmh kanipa moto moto, kanitoa baridi
Kaacha utoto utoto, kajiona zaidi
Mapenzi kipima joto, kanipima baridi
Ulipo na mimi nipo, kikubwa nifaidi

Mwenzako beiby 
Kanachonyota, kamoyo kana choyo
Kana ungua ungua go, kanachonyota
Ooh beiby, kanachonyota

Aah aah 
Ukinitekenya usiguze kwenye mbavu
Ukinitekenya naona raha 
Ukinitekenya usiguze kwenye shingo
Ukinitekenya naona raha 

Ukinitekenya usiguze kwenye mbavu
Ukinitekenya maana naona raha 
Ukinitekenya usiguze kwenye shingo
Ukinitekenya aah naona raha 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment