Paroles de la chanson Wamlambez par Sailors

Chanson manquante pour "Sailors" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Wamlambez"

Paroles de la chanson Wamlambez par Sailors

Wamlambez wamnyonyez
Wamlambez wamnyonyez
Wamloleez....eeeehh

Miracle baby me huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ni dem me hupin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Aki home nashikisha na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Zikishika ninadrive na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka huamini enda uulize boroyeng 
(Mmmh ha boroyeng)
Anajua me huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)

Wamlambez wamnyonyez
Wamlambez wamnyonyez
Wamloleez....eeeehh

Hii ni ya madem wenye wanapenda chuma
Maboy fiti wanapendanga kulima
Dem akipita 'mmmh hmm' wanaguruma
Akijipa wanapiga bila huruma

Miracle baby zimenice nachachisha
Nashika jaba juu doh zimejaa bahasha
Tuko na Ruth siz ya Caro na Natasha
Zikirunda wanaaza kutetemesha

Wamlambez wamnyonyez
Wamlambez wamnyonyez
Wamloleez....eeeehh

Shalkido anaspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ni dem anaspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ki-home anashikisha na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Zikishika anadrive na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka huamini enda uulize boroyeng 
(Mmmh ha boroyeng)
Anajua ye huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)

[Shalkido]
Usiworry nimefintika 
Kulikuwa na kajam fulani but tumekapita
Pewa tot ziku-nice twende dance floor
Na juu kaduka umefunga nipe thutha yoh

Kising'aing'a toka chini hiki kyangu kimesee
Nipe sita mbili mbili wamnyonyez nikupee
Ukibleki naanza kukuguza unafurahi
Nakudema dema nikushike ufeel ukiwa high

Shalkido kwenye mike nazitema kwenye floor
Ikiwabamba mnipe nduru niwashow nikiflow
Niwashow nikoflow
Niwashow nikoflow

Wamlambez wamnyonyez
Wamlambez wamnyonyez
Wamloleez....eeeehh

Masilver ye huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ni dem anaspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ki-home anashikisha na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Zikishika anadrive na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka huamini enda uulize boroyeng 
(Mmmh ha boroyeng)
Anajua ye huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)

Diang'ara, diang'ara, diang'ara
Si ni wale wadiang'ara
Ate?
Diang'ara, diang'ara, diang'ara
Si ni wale wadiang'ara

Your gang shaghala baghala
Ukipeep nakutoa kafara
Masilver me huhit wamlambez
Masilver niu huhit wamnyonyez

Ukianika naanua wamlambe
Ukianika naanua wamnyonye...
Masilver!
Ukianika naanua wamnyonye...

Wamlambez wamnyonyez
Wamlambez wamnyonyez
Wamloleez....eeeehh

Lexxy Yung ye huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ni dem anaspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka ki-home anashikisha na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Zikishika anadrive na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)
Ka huamini enda uulize boroyeng 
(Mmmh ha boroyeng)
Anajua ye huspin na mayeng
(Mmmh ha na mayeng)

[Lexxy Yung]
Okey, you know me 
Am this kid on a bigger vision
On a bigger mission
Chapa gym, kata weight
Pewa liquour no more wait
Cheers to the faith
Am too hot nikimfake

Wamelamba lolo, nikawasha kolo
Nikatema lolo, wakabaki solo
Nimepiga kuni, ikapiga nduru
Ninakemba Henny, wanakemba nduru
Macho ziko rada, nigga ni wasoro
Nimecheki rada, wote ni mavako

Ah siko vako, 
tumetetemesha wote wakatema
Twanga twanga hadi ikalia, hadi ikatema
Buda amezima ndani ya kisima

I can hit so dry 
You can call me mr ride
Down and up, I can pick it up
Baby drop, pick them off 
Wanna see you on your birth suit
You know you're sweet 
Like the way your mama cook

Keep your hands to yourself
Never dare touch my siz
Nigga I can pop you off 
Nigga I can pop you off 

Hahaha timemaraks...

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment