Paroles de la chanson Zabwa par Hamadai

Chanson manquante pour "Hamadai" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Zabwa"

Paroles de la chanson Zabwa par Hamadai

Mapenzi ni safari ya wawili
Mi nawe kimwana
Dhahiri tusifanye siri
Wajue twapendana

Tuzae na mapacha wawili
Tuitwe baba mama
Usisikize wanafiki manyili 
Tukapalanganyana

Nafurahi nina bonge la toto
Navimba tukiwa mtoko
Mi naye ni kulwa na doto
Wanatetemeka eeeh

Chumbani mafoto mafoto
Jikoni mapocho mapocho
Biriani matando makoko
Ona nanepa eeh

Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kitoto siyawezi
Napenda vinono vikubwa mie
Viduchu viduchu siwezi

Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kushare siwezi..

Zabwa zabwa....zabwa eeeh
Mi kwake zabwa
Zabwa zabwa, zabwa eeeh
Msona ndimu wala chumvi
Kwake zabwa mie

Shamba eka moja 
Mi uwezo wa kununua sina(Aah sina)
Nitakulisha chombeza 
Na ugali wa muhogo dinner(Aah dinner)

Nivumilie vaa midosho
Soon tutaenda China(China)
Maradhi usijali
Napambana nikufungulie bima

Sitamani nikuache na njaa
Akili yangu zoa zoa eeh
Naganga kusaka chapaa
Mama eeh mmmh

Kitandani wanipa raha
Sitamani ata kuchomoa mama
Na ujanja wangu aka Hamadai

Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kushare siwezi..

Zabwa zabwa....zabwa eeeh
Mi kwake zabwa
Zabwa zabwa, zabwa eeeh
Msona ndimu wala chumvi
Kwake zabwa mie

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment