Paroles de la chanson Upendo wa Yesu par Upendo Nkone

Chanson manquante pour "Upendo Nkone" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Upendo wa Yesu"

Paroles de la chanson Upendo wa Yesu par Upendo Nkone

Eh tunamsifu Mungu
Anatulinda lila siku
Upendo wake umetuzunguka siku zote
Halleluyah

Huku na huku eeh kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Kila ninapoimba kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Niwapo nimelala kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Na ninapo tembea tembea kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Hata nikiwa nakula kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Eh niwapo safarini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Nikiwa masomoni kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Kila tunapokwenda tumezungukwa na nguvu za Mungu
Na kila tunalolifanya
Ambalo ni kwa ajili ya utukufu wa jina lake
Tumezungukwa na upendo wake halleluyah

Huku na huku na kule na hapo kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Anitegulia mitego ya muovu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Mi nalindwa kuliko wakuu wa dunia kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Hata nikiwa pekee yangu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Na nikiwa nyumbani kwangu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Na nikiwa kazini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Huku na huku na huku kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Nikiwa hospitalini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Nimezungukwa na nguvu za Mungu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Huku na huku he kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka (Mawimbi mawimbi)
Kama mawimbi, upendo wa Yesu wanizunguka

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment