Paroles de la chanson Mapenzi ya Kweli par Stephen Kasolo

Chanson manquante pour "Stephen Kasolo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mapenzi ya Kweli"

Paroles de la chanson Mapenzi ya Kweli par Stephen Kasolo

Bwana mwenye mapenzi ya kweli
Penzi ya kweli

Niliodhani watanipa raha 
Waliniacha kwa kilio
Nilioona wa karibu sana
Walinipasua moyo

Lakini mimi sifi moyo maaana 
Haya Yesu alipitia
Na tamanio langu kubwa mimi
Ni kumuona bwana

Nitamuona Bwana mwenye mapenzi ya kweli
Nitamuona Bwana na kilio kitapona
Nitamuona Bwana anibariki kwa furaha
Na mambo yaliyonivunja moyo yasahaulike kabisa

Mambo mengin tunayopitia yanatuacha kwa maswali
Kwanini mimi nipitie haya na ninampenda Mungu
Lakini mbali twasahau kwamba ni mitihani tunafanya
Na ukishinda majaribu yote mtihani umepita

Nitamuona Bwana mwenye mapenzi ya kweli
Nitamuona Bwana na kilio kitapona
Nitamuona Bwana anibariki kwa furaha
Na mambo yaliyonivunja moyo yasahaulike kabisa

Tunaotenda wema kwa wengine tusichoke kutenda
Wanaopanda kwa machozi eeh watavuna kwa furaha
Ole wao walipao wema kwa kutenda mabaya
Utavuna ulichopanda jiepushe na ghadhabu ya Mungu

Nitamuona Bwana mwenye mapenzi ya kweli
Nitamuona Bwana na kilio kitapona
Nitamuona Bwana anibariki kwa furaha
Na mambo yaliyonivunja moyo yasahaulike kabisa

Nitamuona Bwana(Nitamuona Bwana)
Yeye mwenye mapenzi ya kweli(Nitamuona Bwana)
Nitafutwa machozi niliyolia(Nitamuona Bwana)
Nitamuona Bwana eeh(Nitamuona Bwana)

Wacha kulia mama yangu(Nitamuona Bwana)
Utafutwa machozi uliyolia(Nitamuona Bwana) 
Mnaolia nyamazeni kimya(Nitamuona Bwana)
Kilio ni usiku nakwambia(Nitamuona Bwana)

Mapambazuko yaja(Nitamuona Bwana)
Umeumizwa moyo nyamaza(Nitamuona Bwana)
Umeumizwa moyo ndugu nyamaza(Nitamuona Bwana)
Nitamuona Bwana

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment