Paroles de la chanson Washangaze wajue par Sifaeli Mwabuka

Chanson manquante pour "Sifaeli Mwabuka" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Washangaze wajue"

Paroles de la chanson Washangaze wajue par Sifaeli Mwabuka

Walijua nitabaki Kama nilivyo
Walidhani sitoweza kusimama Tena (x2)

Yalikua Ni maneno yyao hao wanadamu 
Ilikua Ni mipango yao hao wanadamu 
Yalikua Ni maneno yao hao wanadamu 
Yalikua Ni mipango yao hao wanadamu

Kuongea kwangu Wao wakanihukumu
Ile vaa yangu Wao wakanihukumu
Na Ile tembea yangu Wao wakanihukumu
Makosa yangu Ni Kweli Wao wakanihukumu
(X2)

Hawakujua wewe Ni Mungu wa rehema
Hawakujua umekalia kiti Cha Rehema
(x2)
Washangaze wajue eeeee
Washangaze wajue unayejibu 

Washangaze wajue
Washangaze wajue adui zetu
Washangaze wajue
Waliosema hatuezi 
Wajue upo Mungu wetu
Wajue wewe tunaye Kuabudu

Wanadamu kumbe ndivyo walivyo
Ukikosea Jambo hawawezi kukuombea

Ni ukweli Hawajui mipango yako
Ni ukweli Hawajui mawazo yako
Washangaze wajue mipango yako Mungu 
Washangaze wajue Baba
Yahweh washangaze wajue 

Washangaze wajue eeeee Washangaze wajue
Washangaze wajue adui zetu
Washangaze wajue
Waliosema hatuezi 
Wajue upo Mungu wetu
Wajue wewe tunaye Kuabudu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)