Aller au contenu principal

Paroles de la chanson Nina Haja na Wewe par Sifaeli Mwabuka

Paroles de la chanson Nina Haja na Wewe par

Ni wengi wameniandama kila kona usiku na mchana 
Baba peke yangu mimi sitoweza
Mitego wameiweka kwenye njia zangu Yesu
Baba peke yangu mimi sitoweza

Ni wengi wameniandama kila kona usiku na mchana 
Baba peke yangu mimi sitoweza
Mitego wameiweka kwenye njia zangu Yesu
Baba peke yangu mimi sitoweza

Wengine ni wa karibu yangu
Eeh baba unisaidie 
Wengine ni wa nyumbani mwangu
We baba unisaidie 

Wengine ni wa karibu yangu
Eeh baba unisaidie 
Wengine ni wa nyumbani mwangu
We baba unisaidie 

Vita si vyangu ni vyako baba pigana nao
Peke yangu mimi sitoweza
Watesi wangu baba wawe watesi wako shindana nao
Peke yangu mimi sitoweza

Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa

Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa

Paroles.net dispose d'un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection du moment