Paroles de la chanson Asante par Nandy

Chanson manquante pour "Nandy" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Asante"

Paroles de la chanson Asante par Nandy

Kwenye mapito nitetee
Nishike nivushe
Ya dunia mazito baba
Usiache yanilemee

Faraja yangu i kwako
Usinishushe nipandishe
Ya dunia mazito baba ee

Hata ninapokosea, we huna hasira 
Unasamehe makosa yangu
Eh eh aah, naziona zako fadhila 
Umenitendea umekuwa upande wangu

Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema
Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema

Asante Jehovah
Asante Jehovah
Asante Jehovah
Asante Jehovah

Nyakati za shida, wakati wa vita
Uliniwaza toka mwanzoni
Wakanena mabaya wakanipaka za ubaya
Ulinivusha nisiaibike 

Hata ninapokosea, we huna hasira 
Unasamehe makosa yangu
Eh eh aah, naziona zako fadhila 
Umenitendea umekuwa upande wangu

Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema
Wewe ni nuru (Nuru), wewe ni maji (Maji)
Wewe ni uzima (Uzima), nashukuru umenitendea mema

Wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
Nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kwangu
Wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
Nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kwangu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment