Paroles de la chanson Pombe par Nacha

Chanson manquante pour "Nacha" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Pombe"

Paroles de la chanson Pombe par Nacha

Hivi nyie mnalewa kweli?
(Kitonzo)

Nashangaa watu siku hizi mmekuwa waoga
Hamtaki kunywa pombe eti nyumbani hakuna mboga
Mimi nakula hela kutokana na pombe zangu
Mimi nakunywa pombe kutokana na hela zangu

We - monde, dada unasinzia?
Piga tarumbeta kata kiu nitalipia
Na nusu ng'ombe ugali lumagia
Maisha ni mafupi usijali kula bia

Na ikibidi bidi yaani nakula mwenyewe
Nitalewa mwenyewe wala sitaki niombewe
Hamnitishi tishi nitajenga mwenyewe
Nitapanga mwenyewe na nitakufa mwenyewe

Mnaonifualitia mtabaki duwaa
Mtabaki kunisema wala sijali hasara
Hela zangu sasa mbona mna wakala
Hakuna mpenzi mtamu kama pombe mwaaah

Ah mwajua mwakera kweli
Hivi, nyie mwalewa kweli?
Kutwa kunisema niacheni
Nikifa nitazikwa na pombe bwana

Ah si maisha yangu
Niacheni pombe zangu
Wanga mnakata tu simu
Mnapenda kuchonga ebu tokeni hapa

Nashangaa watu mbona mnapenda kuchonga
Pombe nakunywa mimi sichongi mkihonga
Mimi nakunywa hela kutokana na pombe zangu
Mimi nakunywa hela kutokana na pombe zangu

Yaani mtoto ada, atalipa mwenyewe
Kwani nasoma mimi? Shule si anasoma yeye
Sifanyi ibada, nenda kafanye wewe
Mimi niko sawa na sihitaji niombewe

Yaani morning yaani mpaka majogoo
Tunabambia watoto kwa pochi mishiko
Mifukoni ni noti ambapo 
Na ngoma ikibamba inabamba nisoo

Mnaonifualitia mtabaki duwaa
Mtabaki kunisema wala sijali hasara
Hela zangu sasa mbona mna wakala
Hakuna mpenzi mtamu kama pombe mwaaah

Ah mwajua mnakera kweli
Hivi, nyie mwalewa kweli?
Kutwa kunisema niacheni
Nikifa nitazikwa na pombe bwana

Ah si maisha yangu
Niacheni pombe zangu
Wanga mnakata tu simu
Mnapenda kuchonga ebu tokeni hapa

Ah nimelewa ada nadaiwa na watoto
Sina kila kitu
Hamna chochote walicho nacho
Sina nyumba sina gari
Sina kila kitu bado napanga

Kwanzia leo sitaki tena ulevi
Sitaki tena ulevi
Nyasubi ndani ya mbanyu baby

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment