Paroles de la chanson Tulizana par Mbosso

Chanson manquante pour "Mbosso" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Tulizana"

Paroles de la chanson Tulizana par Mbosso

Eeeh, mmmh, eeh
Ana vidimple dimple
Vishimo shimo mashavuni
Mikononi vipiko piko
Eti kipini kipo kitovuni

Ya nini nibaki kiwiliwili
Na kichwa changu ni wewe
Iweje pendo kwao liwe pilipili
Na twakula wenyewe

Mungu kakuumba
Mithili ya malaika yayaya
Samaki wa kukunja 
Chumbani unanyumbulika yaya

Kwa penzi usitie kibanzi 
Kitaniumiza ah
Upendo  ukawa kitanzi
Nikajining'iniza

Ikienda mrama irudishie 
(Popoa popoa dodo)
Ikikwama kwama isukumie 
(Popoa popoa dodo)

Tulizana
Tulizana mpenzi tupendane 
Tulizana mpenzi tupendane 
Tulizana mpenzi tupendane 
Tulizana mpenzi tupendane 

Kama nyota na mwezi
Vilo mwana na angani
Tung'arishe penzi letu sote
Tupeane penzi bila choyo chochote
Na bila hiana kwetu sote

Elewa mapenzi ni chombo
Kinachotuunganisha
Ni chombo kinachosafiri
Kati ya mioyo yetu miwili ilofaidi

Tulizana mpenzi tupendane 
Tulizana mpenzi tupendane 
Tulizana mpenzi tupendane 
Tulizana mpenzi tupendane 

Ikienda mrama irudishie 
(Popoa popoa dodo)
Ikikwama kwama isukumie 
(Popoa popoa dodo)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment