Paroles de la chanson Nimekuzoea par Mbosso

Chanson manquante pour "Mbosso" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nimekuzoea"

Paroles de la chanson Nimekuzoea par Mbosso

Hujaacha tobo
Uliloniachia ni bonge la tundu
Sina nyendo
Mama kaninunia
Nahisi gundu
Nakunywa gongo
Najisaidia nguoni aibu
Uuh uuuhhh mwalongo
Kitanda changu ndio chooni
Wewe ndio sababu uuh…

Butuu mobimba nazolela
Naumia sana Nimekuzoea
Butuu mobimba nazolela mama aah
Naumia sana Nimekuzoea

Hmm Ndoto za ajabu
Kichwani unakuja wewe
Sura yako
Nishasomewa vitabu
Bado vinasema wewe
Nikifa maiti yako yeaaah

Ayaya Ayaya
Na machozi hayataki kauka
Ayaya Ayaya
Nafuta kushoto kulia yashuka
Ayaya Ayaya
Na machozi hayataki kauka mama
Ayaya Ayaya

Utamu wa nanasi
Ghafla huwa mchungu sana
Ukinywa maji
Baby wangu wasi wasi
Nani kakuficha mama
Rudi basi
Tajiri wa uzuni
Machozi kwangu bwerere
Upepo wa firauni
Umemkumba ngedere
Mfukoni mbuni
Vichenchi chenchi njenjere
Uuh namaliza sabuni
Mdomo koma kelele

Butuu mobimba nazolela
Naumia sana Nimekuzoea
Butuu mobimba nazolela mama aah
Naumia sana Nimekuzoea
Hhhmm Ndoto za ajabu
Kichwani unakuja wewe
Sura yako
Nishasomewa vitabu
Bado vinasema wewe
Nikifa msiba wako yeah

Ayaya Ayaya
Na machozi hayataki kauka
Ayaya Ayaya
Nafuta kushoto kulia yashuka
Ayaya Ayaya
Na machozi hayataki kauka mama
Ayaya Ayaya

Moyo una Malengelenge
Moyo wangu eeh
(Malengelenge)
Nahema kwa shida
(Malengelenge)
Biashara yangu ya mapenzi
(Malengelenge)
Hasara si faida
(Malengelenge)
Maazoea
(Malengelenge)
Nimekuzoea
(Malengelenge)
Aaaah ah
(Malengelenge)
Nimekuzoea

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment