Paroles de la chanson Wacha Waumie par Harun Deey

Chanson manquante pour "Harun Deey" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Wacha Waumie"

Paroles de la chanson Wacha Waumie par Harun Deey

Ana kasura kazuri kama Minaj
Mtoto tamba lake la Kiswazi
Nimedata mpaka nahisi kuchizi
Kwake nanoga nazi

Uzuri wake wala si wa mikorogo
Kanichanganya mpaka sioni vigogo
Akitembea anambwembwe kidogo
Tamu mpaka kisogo

Sema nini unataka baby
Ama kokote tutaenda cheriiee
Napendaga ukivaaga ma belly
Tuwaumize akina naniii

Wacha waumie wenyewe
Aki unanipaga kiwewe
Tuishi milele mi nawe

My Kenyan beauty ayee
Ka cute cute ayee
Utamu wa sweeti
We ka chocolate

My Kenyan beauty ayee
Ka cute cute ayee
Utamu wa sweeti
We ka chocolate

Amenipaga kasmile katamu
Namwimbia na kamelody katamu
Kuwachana naye mi ni haramu
Washakusifu wote daddy na mum

Ongeza mapenzi kidogo
Mwenzako nitoe kinyongo
Wengine waone vinyago
Ah-ah usinilambe kisogo

Sema nini unataka baby
My pretty mama

Sema nini unataka baby
Ama kokote tutaenda cheriiee
Napendaga ukivaaga ma belly
Tuwaumize akina naniii

Wacha waumie wenyewe
Aki unanipaga kiwewe
Naishi milele mi nawe

My Kenyan beauty ayee
Ka cute cute ayee
Utamu wa sweeti
We ka chocolate

My Kenyan beauty ayee
Ka cute cute ayee
Utamu wa sweeti
We ka chocolate

My Kenyan beauty ayee
Ka cute cute ayee
Utamu wa sweeti
We ka chocolate

My Kenyan beauty ayee
Ka cute cute ayee
Utamu wa sweeti
We ka chocolate

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment