Paroles de la chanson Sawa par Hamis BSS

Chanson manquante pour "Hamis BSS" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sawa"

Paroles de la chanson Sawa par Hamis BSS

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Kabla usiku kulala, Mola namuomba sana
Nafanya dua kwa sala aah, kesho niweze kuiona 
Anipe na afya bora, tena nizidi pambana
Aniepushe misala, ooh nisirudi nyuma

Anitunzie na riziki yangu
Masikini nitapata
Anilindie na mama yangu
Na mi nizidi mkumbuka

Binadamu fahamu
Tumeumbiwa matatizo
Hakuna chungu na tamu
Aiyee eh eh

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Uniepushe mabaya dunia mbele yasije nikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia, uninusuru muumba
Katu nisikate tamaaa niende kutafuta tonge
Anipatia ah nilale njaa moyo niupige konde

Anitunzie na riziki yangu
Masikini nitapata
Anilindie na mama yangu
Na mi nizidi mkumbuka

Binadamu fahamu
Tumeumbiwa matatizo
Hakuna chungu na tamu
Aiyee eh eh

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment