Paroles de la chanson Iweje par Hamis BSS

Chanson manquante pour "Hamis BSS" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Iweje"

Paroles de la chanson Iweje par Hamis BSS

Hivi unayofanya huyaoni au makusudi
Naishi roho mkononi nusu mauti
Dhima ya upendo ni wewe
Woi leo umebadilika 

Umeliacha pengo sio siri
Hohehahe sina pa kushika
Wa kukunia mbuzi kidaka
Wenzangu wasosomole
Utanipenda vipi viraka
Sina za ofa nikutoe

Kwanza ulinidanganya picha 
Nikajiona nimefika, nilichizika balaa
Sura wapi nitaificha 
Aibu kujianika, nazikwa mzima mzima

Iweje, umenipalia moto naungua
Iweje, hauna huruma hata kidogo
Iweje, iweje iweje leo umeniacha mie
Iweje, wowowo uwooo hee

Labda nikifa utakuja kwenye msiba
Kuomboleza
Lanichoma choma penzi mwiba
Bora kujiongeza nitembee

Yako wapi, yako wapi?
Kiko wapi, kiko wapi?
Ule upendo uko wapi?

Kwanza ulinidanganya picha 
Nikajiona nimefika, nilichizika balaa
Sura wapi nitaificha 
Aibu kujianika, nazikwa mzima mzima

Iweje, umenipalia moto naungua
Iweje, hauna huruma hata kidogo
Iweje, iweje iweje leo umeniacha mie
Iweje, wowowo uwooo hee

Kwanza ulinidanganya picha 
Nikajiona nimefika, nilichizika balaa
Sura wapi nitaificha 
Aibu kujianika, nazikwa mzima mzima

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment