Paroles de la chanson Wapinzani wametoa BOKO par Hamadai

Chanson manquante pour "Hamadai" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Wapinzani wametoa BOKO"

Paroles de la chanson Wapinzani wametoa BOKO par Hamadai

Boko, boko wametoa boko
Wapinzani wamechina 
Wametoa boko, boko wametoa boko

Chama chetu imara
Namba moja imara CCM
Magufuli ndo kinara
Kapita kila idara CCM

Sifanyi kosa kamwe
Kuitupa kura yangu nilalame baadae
Wale wale nawaamini
Viongozi wa nchi yangu ukubali ukatae

Magufuli, safi, Mama Samia eeh
Safi, CCM safi
Kassim Majaliwa ndo wangu wa hoyee, safi
Safi Chama changu safi

Suleiman Jafo, Joketi kizawe safi
Safi, CCM safi
Mheshimiwa Bashe kilimo tumeona, safi 
Safi Chama changu safi

Mheshimiwa Mwakembe michezo tumeona, safi
Safi, CCM safi

Kupambana na Magufuli 
Wametoa boko, boko wametoa boko
Kushinda na CCM 
Wametoa boko, boko wametoa boko

Ah wapinzani wamechina 
Wametoa boko, boko wametoa boko
Magufuli 4G hatetereki
Boko, boko wametoa boko

Magufuli, safi, Mama Samia eeh
Safi, CCM safi
Mheshimiwa Biteko madini tumeona, safi
Safi Chama changu safi

Kigwa Ngala hoye utalii tumeona, safi
Safi, CCM safi
Bandarini pia ooh tumeona, safi 
Safi Chama changu safi

Juma Uweso kwenye maji tumeona, safi
Safi, CCM safi
Mheshimiwa Bashungwa tumeona, safi
Safi, CCM safi

Umi Mwalimu kwenye afya tumeona, safi 
Safi Chama changu safi
Mama ndalichako kwenye elimu tumeona, safi 
Safi Chama changu safi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment