Paroles de la chanson Tukatiane par Hamadai

Chanson manquante pour "Hamadai" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Tukatiane"

Paroles de la chanson Tukatiane par Hamadai

Habiti, ai sweety
Jina gani unapenda wewe? Ai wewe
Wapi tufanye kwichi kwichi
Chumbani ama kwenye miti miti?

Nakusikiza wewe, yaani wewe
Watembea na roho yangu 
Mimi nimebaki kivuli tu
Wanyaku wambie wametoka kapa

Ah penzi umelitia pingu
Umeongeza na kufuli huku
Hadi utakapo mwenyewe 
Ndo mambo swadakta

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Nitakufuata fuata kwa vipochi pochi
Manoti noti, wakatae
Wakikukosa kwa chenga watakupiga dochi
Wamalize mechi, usizubae

Unastahili
Nikupatie japo shoti mbili
Ulewe, ulewe

Mtaani saga kachiri 
Na mimi nipate japo viwili
Nilewe, nilewe

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Usinivunje mwenzio(Sawaa)
Usinionee mwenzio(Sawaa)

Tunda la mti kati(Sawaa)
Kula lote lisibaki(Sawaa)
Beiby wa wasiwasi 
Umeutoa wapi?

Achana na pipi basi(Sawaa)
Utamu wa ndizi karoti(Sawaa)
Si nimeleta koni
Umeificha wapi?

Sawaa, sawaa, sawa sawa 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)