Paroles de la chanson Magufuli par Dogo Sillah

Chanson manquante pour "Dogo Sillah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Magufuli"

Paroles de la chanson Magufuli par Dogo Sillah

Umuhimu wako naujua
Japo umri wangu bado haujafikia
Wewe Baba Magufuli 
Mwenyezi Mungu naye ndio katupatia

Sitochoka kusifia
Sababu kuna mengi sisi umetufanyia
So kwake Mungu nakwapia
Ningekuwa mkubwa ningekupa kura

Leo tunasoma 
Hakuna ada shule mimi nawaongozea
Twakupenda sana
Mpaka na walimu shule umetuongezea

Leo tunasoma 
Hakuna ada shule mimi nawaongozea
Twakupenda sana
Mpaka na walimu shule umetuongezea

Babu, Babu Magufuli
Cheki mti ulivyojenga
Babu, Babu Magufuli
Tanzania ya viwanda

Hoyee, hoyee...(Magufuli ulivyojenga)
Hoyee, hoyee...(Magufuli ulivyojenga)

Mama Samia unafanya napata raha
Baba Majaliwa utafanya niwe kichaa
Mama Samia unafanya napata raha
Baba Majaliwa utafanya niwe kichaa

Barabara hadharani mmejenga
Hospitali kibao na viwanda
Misaada kote mmetoa
Kwa kina mama wazee na yatima

Barabara hadharani mmejenga
Hospitali kibao na viwanda
Misaada kote mmetoa
Kwa kina mama wazee na yatima

Leo tunasoma 
Hakuna ada shule mimi nawaongozea
Twakupenda sana
Mpaka na walimu shule umetuongezea

Leo tunasoma 
Hakuna ada shule mimi nawaongozea
Twakupenda sana
Mpaka na walimu shule umetuongezea

Babu, Babu Magufuli
Cheki mti ulivyojenga
Babu, Babu Magufuli
Tanzania ya viwanda

Hoyee, hoyee...(Magufuli ulivyojenga)
Hoyee, hoyee...(Magufuli ulivyojenga)

Babu, Babu Magufuli
Cheki mti ulivyojenga
Babu, Babu Magufuli
Tanzania ya viwanda

Hoyee, hoyee...(Magufuli ulivyojenga)
Hoyee, hoyee...(Magufuli ulivyojenga)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment