Paroles de la chanson Kilio par Dogo Sillah

Chanson manquante pour "Dogo Sillah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kilio"

Paroles de la chanson Kilio par Dogo Sillah

Oh mama wacha kulia unanisononesha mimi mwanao
Si ulisema baba alikwenda day kututafutia
Sasa mbona hajarudi wakati ulisema atarejea

Miaka inazidi kwenda dunia inatuzonga
Mama nwe mgonjwa japo unasaidia 
Miaka inazidi kwenda dunia inatuzonga
Mama nwe mgonjwa japo unasaidia 

Mvua ikinyesha ni mpaka ndani
Mi sina wewe taabani
Yaani siamini taa imetuzimikia
Yeyeyeye...wowowowo...

Kilio ooh kilio, daddy lini atarejea?
Kilio ooh kilio, dunia imetuelemea
Kilio ooh kilio, wapi ulipo tunakungojea
Kilio ooh kilio, oh baba wewe

Siku zinakwenda na hatupati jibu
Maradhi nayo hayana matibabu
Huku Silah naye shuleni kapewa adhabu
Sasa inapata mwezi hatupati jawabu

Nikiangalia hali ya mama nakosa la kufanya
Maana mama mgonjwa sana na msaada hakuna
Laiti angekuwepo baba, yasingetokea
Mengine makubwa magumu kwa majibu yamezea

Na nyumba yenyewe tunayokaa
Mvua ikinyesha jaramba
Yaani kukimbizana aah mazonge

Baba wanao shida tumezoea
Gogwa kiuno baba zabwebwea
Kulala njaa mazoeaaa
Wasaka tonge, baba ah...

Kilio ooh kilio
Kilio ooh kilio
Kilio ooh kilio, dunia inatuzagabaa
Kilio ooh kilio, oh baba wewe

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment