Paroles de la chanson Nisamehe par Christian Bella

Chanson manquante pour "Christian Bella" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nisamehe"

Paroles de la chanson Nisamehe par Christian Bella

Nishahangaika kote kushoto kulia
Nifanye nini unisamehe
Naona kama sipo kuishi bila wewe
Napata shida unisamehe

Moyoni nimebabuka
Amani sina mpenzi nisamehe
Basi fanya yaishe
Usisubiri niteketee nisamehe

We ndio dereva wa maishani
Usikatishe safari
Malengo tuyafikie
Niliteleza nakubali

Moyoni nimebabuka
Amani sina mpenzi nisamehe
Basi fanya yaishe
Usisubiri niteketee nisamehe

Alila lila (Naomba nisamehe)
Alila lala (Naomba nisamehe)
Saba mara sabini bibi naomba nisamehe
Turudi kama zamani bibi basi we kaa chini (Naomba nisamehe)
Yakakakaya...kayanga bolingo we (Naomba nisamehe)
Zokaya kaya kaya... bolingo na lingiyo 

Si ulisema mimi chupa na wewe mfuniko baby
Unataka kuniacha wazi niadhirike
Na ukasema labda kitutenganishe kifo
Tutakuwa mwisho wetu wa mapenzi mimi na wewe

Mangapi tunakosea kila siku chini ya jua
Tukitubu tukiomba Mungu baba anatusamehe
Nahisi kiungulia, mwii umetoa....Nisamehe

Alila lila (Naomba nisamehe)
Alila lala (Naomba nisamehe)
Saba mara sabini bibi naomba nisamehe
Turudi kama zamani bibi basi we kaa chini (Naomba nisamehe)
Yakakakaya...kayanga bolingo we (Naomba nisamehe)
Zokaya kaya kaya... bolingo na lingiyo 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment