Paroles de la chanson Hadithi par Chidi Beenz

Chanson manquante pour "Chidi Beenz" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hadithi"

Paroles de la chanson Hadithi par Chidi Beenz

Yeah… Yeaaah haha
We unawaza ngumi kali me nawaza kukuzika
Unacheka wakati natisha wowo (aki ya mungu) ya!

One time mila kwa mmoja wa kisela
Mambo mpela mpela
Sura nzuri jela
Shika kochela
Mwaga kila sera
Kule beki watoto wadogo wenye wamejitela
Na familia ni ka rockafella
Watanzania full squad with katela
Speechi ya mama mashabiki wanookera

Sina habari nguo unafanya tonge kama mpera
Una nuna una vimba, kimba unakera
High lady huenda fasti vuli ntela
Haile haile vunja majela

Hunitishi na una sura kama ngwela
Magufuli nguvu sio sera
Gas gas na imekunywa maji ya bendera
Diamond wakawaka rickross fella
Viva mandela, iiva wela

Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi njooo
Ramparampapa

Kila tukio tukio
Hope lako linakuja
Hata ijae vipi sio sababu ya kuvuja
Hamtani true ya Zaidi halleluyah
I love vest me
Oooh ndo na move aah
Back down nigga
We shut down nigga ilala
Karibu kwenye my town nigga, eazy
Bado tunapiga round ka jeezy
Gangsta jump around nigga(wooh)
Viherere wako mbele kama utosi
Cartoon toon kinyago cha ghosti
Na hell no no bora nikaposti
Mchaga mwenye akili ya kidosi

Maisha sio fair nigga, rip ngoya
Shetani atiii tii ila mungu hatakumbea
Roho mbaya kama muuza nyata
Mpenda urembo jua ataundwa mpaka taa

Hadithi hadithi Hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi Hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa

Hadithi hadithi
Ila sio ya sungura na fisi
Weeeh
Hadithi hadithi
Kutushika sisi sio rahisi
Na kama chi amekaba flow
Pembe niko na Babylon
Itakuwa vipi wakija kwenye show
Hadithi hadithi njooo

Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa
Hadithi hadithi hadithi njooo
Ramparampapa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment