Paroles de la chanson Waisome par Chege

Chanson manquante pour "Chege" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Waisome"

Paroles de la chanson Waisome par Chege

Watanzania leo tunafaidi, ah lalalala
Spidi ya Magufuli sio baridi, lalalala
Anatimiza yote aloahidi, lalalala
Kurudi ikulu tena haina budi, lalalala

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Umedhibitisha umma 
Magu ndo Rais anayetufaa
Tunaamini sera zake
Na wale walioko chini yake

Mama Samia, Majaliwa
Jepu vigogo tunaishi nao sawa tu
Spika Dugai, Jaji mkuu 
Awamu ya tano mko lit naona kazi tuu

Baba sisi tunashukuru wala hatutolalama
Aaaah- aaah aaah
Hatutaki kufuru taifa liende salama
Aaaah- aaah aaah

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Magufuli mbele kwa mbele
Taifa lisonge
Makonda mbele kwa mbele
Dar isonge

Mwakembe mbele kwa mbele
Michezo lisonge
Kigogwa la mbele kwa mbele
Gari lisonge

Wafanyi wa biashara
Machinga Kariakor
Sasa wako huru 
Hakuna kukabwa koo

Walipa kodi za majengo
Walipa kodi za biashara
Walipa kodi za maduka
Hakuna foleni

Baba sisi tunashukuru wala hatutolalama
Aaaah- aaah aaah
Hatutaki kufuru taifa liende salama
Aaaah- aaah aaah

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Watanzania leo tunafaidi, ah lalalala
Spidi ya Magufuli sio baridi, lalalala
Anatimiza yote aloahidi, lalalala
Kurudi ikulu tena haina budi, lalalala

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment