Paroles de la chanson Utarudi par Chege

Chanson manquante pour "Chege" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Utarudi"

Paroles de la chanson Utarudi par Chege

Kuwa na heshima
na ustaraabu
Ficha makucha yako
Kuwa na adaabu
Mafunzo ya mama
ndio lako jawaabu
Tumia kama kinga
usi yadharaauuuuuu

Wala ndoa sio jela
Sio jela
Una kwepa ukapeela
Ukapela
Wala ndoa sio jeelaa
Sio jelaaa
Una kwepa ukapelaa
Ukapela
Wengine wanakosaga ndoa
Kwa tabia chafuuu
Binti tulia na mumeo
Baridi baarafuuu

Aiya iya umeolewa
utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeolewaa
Umeoleewa
Aiya iya umeolewa
Utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeolewaa
Umeoleewa
Kwaheri baba na mama
Kuonana majaliwa
Aiya iya umeolewa
Umeolewa
Kwaheri ndugu zangu kuonana majaliwa
Aiya iya umeoleewa umeoleewa

Wameshikana mikoono
Wamesimama
Wakina mama wale
Wakina baba wale
Nawaona wajomba wale
Mashangazi  wale
Wanapiga vigere gere kwa furaha
Aaaaaaah
Zawadi za kumwaga wana mwaga
Aaaaah
Ukiwa kwako kuwa mvumiliivu
Rafiki yako awe mume wako
Uuuuuu uuuu uuuuu
Maisha yako sasa ni yakwakee
Watoka kwenu leo waenda kwakoo
Uuuu uuuu uuuu

Aiya iya umeolewa
Utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeoleewa umeoleewa
Aiya iya umeoolewa
Utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeoleewa umeolewa
Kwaheri baba na mama kuonana majaliwa
Aiya iya umeolewa umeolewa
Kwaheri ndugu zangu kuonana majaliwa
Aiya iya umeolewa umeoleewa

Aye aye aye aye
Aye aye aye aye

Wameshikana mikoono......
Wamesimama.....
Wameshikana mikoono......
Wamesimama......
Wazazi wanalia kwa furaha
Wazazi wanalia kwa furaha
Leo ni furahaaa
Uuuu uuuu uuuuu
Uuuu uuuu uuuuu

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment