Paroles de la chanson Kelele Za Chura par Chege

Chanson manquante pour "Chege" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kelele Za Chura"

Paroles de la chanson Kelele Za Chura par Chege

saidi felaa
aiyaiyaa
tmk for life

jobanjoo
wasakizie mbwa nyama ya sumu
napanda mgongo usiku me nakula,
usipende kuzima taa wakat wa kula,
hakuna mganga wa jiko zaid yako maama,
ukipika wali nazi me nakulaa,
(oooh) kuhusu jikoni hilo usijali,
kwani ushibapo mume me nafurahi,
nnachotaka mapenziiiii,
kwa mwingine siweziiii,
mmmh,
kwa mapenzi usijali kitandani me hatari,
umefundwa kama mwali me kwako sina habari,
hayaaya,
mchana wa jua kali tujifungie chumbani,
kama kuna joto kali tunaja kibarazani, huna kasoro hata kidogo mtoto unaitaaa(eeeeh)
huna kasoro hata kidogo kaka nakuita,
waache waongee,
aye mama usiogopee,
mbona me sina wasi wasi nao, aye mama usiogopee,
(mmmh) waache waongee,
aye baba usiogopee,
kelele za chura kisimani,
aye baba usiogope
(eeenh)
(moyo) moyo moyo wangu moyoo,
(moyo) nna wasi wasi wangu moyoo,
mana wachache wanapenda,
wengi wanaombaa,
mimi nawe tuachane wao ndo wanapenda,
tufanikishe washangaee,
wazinduke nishakua nawe (mimi nawee),
watanuna kua nawe (mimi nawe),
usijali niko nawe,
napanda mgongo usiku me nakula,
usipende kuzima taa wakat wa kula,
hakuna mganga wa jiko zaid yako maama,
ukipika wali nazi me nakulaa(ayaayaa)
huna kasoro hata kidogo mtoto unaita (eeenh),
huna kasoro hata kidogo kaka nakuita,
waache waongee,
aye mama usiogopee,
mbona me sina wasi wasi nao, aye mama usiogopee,
(mmmh) waache waongee,
aye baba usiogopee,
kelele za chura kisimani,
aye baba usiogope,
waache waongee,
aye mama usiogopee,
mbona me sina wasi wasi nao, aye mama usiogopee,
(mmmh) waache waongee,
aye baba usiogopee,
kelele za chura kisimani,
aye baba usiogope
(eeenh)
(moyo) moyo moyo wangu moyoo,(moyoo)
(moyo) nna wasi wasi wangu moyoo, chege chigunda na jobanjoo,
(na jobanjoo)
sasa ni dunga na jobanjoo,
(na jobanjoo) eenh
chege chigunda na jobanjoo,
(na jobanjoo)
sasa ni dunga na jobanjoo,
(na jobanjoo)
eenh, eenh, eenh
hayaayaa
eenh, eenh, eenh
nandiiii
eenh, eenh, eenh
hayaayaah

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment