Paroles de la chanson Nahisi par Young Killer

Chanson manquante pour "Young Killer" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nahisi"

Paroles de la chanson Nahisi par Young Killer

 Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Ha!Nimesharealize you are beatiful sexy
When I close my eyes, I see your face
For the first time nahisi kwenda mitandao
Before kumeet mlimani City ni we wanao

Then tukaenda klabu ukawa unapita pita
Unanipima kiuno na mbavu nikawa nashika shika
Nikaomba uwe wa ubavu ukawa unasita sita
Unanipa mdomo na shavu nikapiga lita
Alafu ukaondoka mamacita

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Huh, kuna siku pale kwenye bucha, nakuita unang'ata kucha
Ukayeyusha basi sijalala usiku kucha
Pandisha pedo pusha, aah-ah nyonga zungusha
Unaonekana kitandani huwezi niangusha

Umenidilute, soda na chai
Sikupi nafasi unitese ka najinyonga kwa tai fupi
Unakaa mtaa upi? Au pale Kailuki
Ulipokuwa na mama cookie

Ile siku ulikuwa na nywele ndefu
Unacheza peku, 
Unazungusha unaringa

Nilikutamani upajue kwetu
Uonane na bibi yetu
Ila nikakuita ukaringa

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment