Paroles de la chanson Najivunia par Walter Chilambo

Chanson manquante pour "Walter Chilambo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Najivunia"

Paroles de la chanson Najivunia par Walter Chilambo

Ningekuwa na mali
Magari ya kifari 
Bila amani 
Ninajivunia nini ? yeah

Pesa nyingi 
Nyumba na biashara 
Bila amani, yeah yeah 

Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako
Kwa maumivu tena umeshikilia imani zako 
Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako
na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako 
Polee 

Duniani sipakujivunia jina
Wala mavazi ya heshima
Bali neno la uzima
litatuongoza vyemaaa

Chorus:
Mwezenu mimi jamanii
Najivunia kuwa na yesu
Vya dunia nimeviacha mbali
Najivunia kuwa na Yeye

Yesuu 
Pekee yake anasimama
Najivunia kuwa na Yesu
Mfalme wa wafalme
Najivunia kuwa na yeye

Yeye ni mwalimu wa walimu 
Ananifundisha vyema
Yeye ni tabibu wa karibu
Napata tiba njema 

Yeye ni dereva 
Anazijua njia zangu baba wo
yeye ndie Shujaa 
Anishindia vita yangu baba wo 

Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako 
Kwa maumivutena umeshikilia imani zako
Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako 
Na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako
Polee

Duniani si pakujivunia jina 
Wala mavazi ya heshima 
Bali neno la uzima litatuongoza vyema 

 
Mwenzenu mimi jamani 
Najivunia kuwa na yesu 
Vya dunia nimeviacha mbali 
Najivunia kuwa na yeye 

Yesu pekee yake anasimama 
Najivunia kuwa na Yesu 
Mfalme wa wafalme 
Najivunia kuwa na Yesu 

Kwa mara hii mungu
Aliupenda ulimwengu 
Akamtoa mwanae wa pekee 
Ili kila mtu a mwaminie asipotee 
Bali awe na uzima wa milele 

Najivunia kuwa nae

Mwenzenu mimi jamani najivunia kuwa na Yesu
Vya dunia nimeviacha mbali 
Najivunia kuwa na yeye 

Yesu peke yake anasimama 
Najivunia kuwa na yesu 
Ninatembea kwa maringo
Najivunia kuwa na yeye

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment