Paroles de la chanson Hawajui par Vanessa Mdee

Chanson manquante pour "Vanessa Mdee" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hawajui"

Paroles de la chanson Hawajui par Vanessa Mdee

Nahreel wussup wussup wussup wussup

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana(x2)

Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
Kila siku beki leo kipa nimekudaka

We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana (x2)

Choko choko ndiyo mambo mliozoea
Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
Mungu ndiyo ananilinda

We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Kunisema kwa ubaya
Na ukiapa kwa Mungu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana (x2)

We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana (x2)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment