Paroles de la chanson Utabaki na Mimi par Upendo Nkone

Chanson manquante pour "Upendo Nkone" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Utabaki na Mimi"

Paroles de la chanson Utabaki na Mimi par Upendo Nkone

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Baba
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Katika pito hili baba (Utabaki na mimi)
Kwenye magumu haya baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi baba (Utabaki na mimi)
Uwe mfano wangu Yesu (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Majaribu ni kama moto yanauchoma moyo
Yamenipata mimi moyoni mwangu naumia
Nimesongwa pande zote sioni nafuu
Yesu njoo uwe na mimi

Kichwa changu kinaniuma moyo una mawazo
Jaribu hili baba yangu naona ni nzito sana
Limenijia kwa ghafla nimehuzunika sana
Yesu njoo nifariji moyo

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi)
Nishike mkono baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi)
Nishike mkono baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Mimi nalia machozi yangu uyaone baba
Mwili wangu umetetemeka pito ni nzito
Ewe Mungu wa urejesho unirejeshe tena
Yesu wangu uwe na mimi

Nakuomba baba wa huruma unitulize
Faraja yako Yesu wangu iwe na mimi
Unishike mkono Mungu wangu uniinue tena
Yesu njoo uwe na mimi 

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata nikiwa mjane baba (Utabaki na mimi)
Hata nikiwa yatima (Utabaki na mimi)
Usiniache baba, usiniache baba
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata ndoa ikiisha (Utabaki na mimi)
Hata ndoa ikiisha baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata wakinitenga (Utabaki na mimi)
Wakinifukuza mimi (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Marafiki wakikimbia (Utabaki na mimi)
Na dunia ikinitenga (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Washirika wakinigeuka (Utabaki na mimi)
Utabaki na mimi Baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Watoto wangu wakinitenga (Utabaki na mimi)
Yesu utabaki na mimi (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Wewe faraja ya moyo wangu
Yesu mtuliza bahari

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment