Paroles de la chanson Uniongoze Yesu par Upendo Nkone

Chanson manquante pour "Upendo Nkone" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Uniongoze Yesu"

Paroles de la chanson Uniongoze Yesu par Upendo Nkone

Uniongoze bado nakuhitaji
Uniongoze Yesu kiongozi mwema
Moyo wangu nakuhitaji
Niongoze nivuke salama 
Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite 
Hivi leo nakuita nisikie 
Usiende mbali nami
Usiniache pekee yangu 
Mungu wangu uniongoze

Dunia hii ina mambo mengi sana Baba
Sasa dhambi imetawala dunia
Waliookoka wengine wanarudi nyuma
Mi napenda nikupendeze Mungu upendezwe nami
Niyashike maagizo yako unifurahie
Neno lako Yesu likae ndani yangu 
We Baba

Uniongoze bado nakuhitaji
Uniongoze Yesu kiongozi mwema
Moyo wangu nakuhitaji
Niongoze nivuke salama 
Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite 
Hivi leo nakuita nisikie 
Usiende mbali nami
Usiniache pekee yangu 
Mungu wangu uniongoze

Kuna wengine wachanganya Mungu na dunia
Na wengine wanalibadili neno lako
Yesu ukisema na wao pia wanasema
Mi nataka nikusikie Yesu ukisema nami
Maana wewe ndio wa thamani maishani mwangu
Nguvu zako Yesu zikae ndani yangu

Uniongoze bado nakuhitaji
Uniongoze Yesu kiongozi mwema
Moyo wangu nakuhitaji
Niongoze nivuke salama 
Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite 
Hivi leo nakuita nisikie 
Usiende mbali nami
Usiniache pekee yangu 
Mungu wangu uniongoze

Ni kweli Bwana nimekutana na vita kali (Vita Kali)
Lakini Yesu umepigana badala yangu (Badala yangu)
Wewe umekuwa ni mwamba wa wokovu wangu
Mbele yangu sijui kuna nini unipiganie
Usipokuwa nami sitaweza kitu unishikilie
Natamani sana nione uso wako Jemedari wangu

Uniongoze bado nakuhitaji
Uniongoze Yesu kiongozi mwema
Moyo wangu nakuhitaji
Niongoze nivuke salama 
Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite 
Hivi leo nakuita nisikie 
Usiende mbali nami
Usiniache pekee yangu 
Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite 
Hivi leo nakuita nisikie 
Usiende mbali nami
Usiniache pekee yangu 
Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite 
Hivi leo nakuita nisikie 
Usiende mbali nami
Usiniache pekee yangu 
Mungu wangu uniongoze

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment