Paroles de la chanson Malikia par Sauti Sol

Chanson manquante pour "Sauti Sol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Malikia"

Paroles de la chanson Malikia par Sauti Sol

Wengi wao wamenyosha mikono
wataka upokezi toka kwako
na hata wenye magari ya kifahari

najua kwako wewe hawatoshi
usinilenge
usinipelekepeleke huku na kule
uje unipende
uje hata nao mapacha unizalie

njoo nikumiliki milele
malikia tuoane
wewe ni mi
mimi ni wewe
na milele tupendane
usinifungie pazia
malikia nakuita
usinifungie pazia
malikia nakuita

(Malikia nakuita we uje unizalie*3)
malikia nakuita we uje, uje

mabepari wasio na mapenzi halali
watazidi kukunoki hoi
na hata wenye magari ya kifahari
najua kwako wewe hawatoshi
usinilenge
usinipelekepeleke huku na kule
uje unipende
uje hata nao mapacha unizalie
njoo nikumiliki milele
malikia tuoane
wewe ni mi
mimi ni wewe
na milele tupendane
usinifungie pazia
malikia nakuita
usinifungie pazia
malikia nakuita

(Malikia nakuita we uje unizalie(x3)
malikia nakuita we uje, uje

malikia, karibia (x4)

End

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment