Paroles de la chanson Huniachi par Reuben Kigame

Chanson manquante pour "Reuben Kigame" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Huniachi"

Paroles de la chanson Huniachi par Reuben Kigame

Umeahidi wewe bwana huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi ninaiweka imani yangu kwako baba
Unalijua jina langu ewe bwana huniachi

Unatengeneza njia hata mito kule jangwani
Wewe ndiwe alpha na omega huniachi
Ukamtoa danieli kutoka tundu la simba
Wewe huwainua na wanyonge siku zote

Watuepusha na hatari kila siku usifiwe
Marafiki nao wanaweza nigeuka
Mara kwa mara maadui wanizunguka
Nitaishi kwa ahadi yako bwana huniachi huniachi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment