Paroles de la chanson MWAMBIENI par Rayvanny

Chanson manquante pour "Rayvanny" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "MWAMBIENI"

Paroles de la chanson MWAMBIENI par Rayvanny

Iyo lizer
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Kwanza tuanze rangi yake
Ah! jamani ipo mwake
Natamani nione kopo lake
Amenunua wapi duka lake
Kisha tuje kwenye umbo lake ah!
Hapo lazima udate
Usije kutokwa mate
Mambo ya uturuki tuyaache
Maana mtoto kanawiri
Jaama! kumuacha uwe jasiri saana!
Nime shindwa kuwa bahiri
Mama! we nichune hadi kandambili
Sawa
Babe pose geuka freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa!
You are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Leo nawatambulisha
Mliokuwa hamjui
Hapa ndo nimetika mwenzenu
Shemeji yenu huyo
Kwake najibebisha
Usiku asubuhi
Tongonza tongoza ama zangu ama zenu
Shemeji yenu huyo
Ye ndo tiba ya mwili
Mama anituliza akili…Jama
Ma Ex mtasubiri
Sanaaa
Kumuacha sitikiriii
Oooh! oh!
Pose Geuka Freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaaa!!!
You are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment

Les plus grands succès de Rayvanny