Paroles de la chanson Mama La Mama par Rayvanny

Chanson manquante pour "Rayvanny" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mama La Mama"

Paroles de la chanson Mama La Mama par Rayvanny

Mama, mama, mama
La mama ehh

[Rayvanny]
Mola amenipa sauti niimbe
Nikuimbie wewe aiih
Woman of my life baby mama
Nakupa mabawa fly
Nai atadout apime uzuri wako wewe my
Material wife huna drama, niende kwa mwingine why
Cha mapenzi kina kipime
Uone dhahiri upendo wangu
Usije kunitupa weweee (aaaaah wewe)
Sina mwingine, na sitobadili chauo langu
Moyo wangu nakupe wewe (ah wewe)
Chocolate color nywele laini
Lips mafuta na zinashine
Nguo za kung'ara hiyo dizaini
Thanks to de lord now your mine
Sema pwani ama bara
Wapi fine
Tukitoka out tukanywe wine
Figure 8 kinara sio 9
Unapenda wasafi tutakusign

We ndio
Mama mama mama
La mama we ndio
Mama mama mama
La mama we ndio
Mama mama mama
La mama we ndio
Mama mama mama
La mama we ndio ama mama mama
La mama

[Mr Blue]
Nikitazama sura yake namuona model
Naiona taswira ya adabu sioni nyondo
Nauona mpapai alafu naokota embbe dodo
Nawaona wasiopenda amani wote macho kodo
Mgepeleka wapi, hichi kichwa kigumu
Ningepata wapi, mwanamke wakudumu
Ajiunge na wasafi, tusukume gurudum
Namnajuaga sitaki, haya mambo yakunywa sumu
Mama la mama, oh mama mia
Kwako nimezema nmezama nmezamia
Niihifadhi kama maji,kwenye mwili wa ngamia
Usijali kuhusu mambo ya tango na vibmia
Nichakaze shori
Nikanyage sorry
Kwangu kuwa mchaga asubuhi nile kama mtori
Tafadhari shori
Usinipandishe mori
Na ukinipa nyama naila kama nyama pori

We ndio
Mama mama mama
La mama we ndio
Mama mama mama
La mama we ndio
Mama mama mama
La mama we ndio
Mama mama mama
La mama we ndio

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment

Les plus grands succès de Rayvanny