Paroles de la chanson Sabu par Pson

Chanson manquante pour "Pson" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sabu"

Paroles de la chanson Sabu par Pson

Tuko namwangalia na mbali
Kama my music ka itampeleka ka fashi
Kama lishushi tutakagombanisha
Na ile mamilio ya ma v yake ya gwivi

Pengine asema ni malawa
Asema ni reve, watu hawamjui
Ati ananivo

Pengine asema ni malawa
Asema ni reve, watu hawamjui
Ati ananivo

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Tumika kazi yako na roho moja
Kuna siku kazi yote inalipaga
Usisikie ya watu angalia Mola
Jua ya leo ya kesho umwachie Mungu

Walisema hutaolewaga
Kazi hutapataga 
Utabaki kuhangaika
Utabaki masikini

Walisema hautaolewaga
Kazi hutapataga 
Utakuwa ka omba omba
Leo tuko wapi?

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Ni miye yule yule
Walisema akanipa bure
Nitabaki hapa mpaka vile 
Shibobale mpaka pale

Ni miye yule yule
Walisema akanipa bure
Nitabaki hapa mpaka vile 
Shibobale mpaka pale

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment