Paroles de la chanson Corona par
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Yes man fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Poker fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Similizer fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Sholei fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Jack on the beat fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Slim fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Roberto msanii fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Afisa Mark B, kabla ya saa kumi na mbili
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Bwow! nifeel
Weka mkono mmoja hewani
Na hii ingine ya makwapa
Njaa itatuua ndani ya nyumba zetu
Sanitizer (Sanitize)
Quarantine (Quarantine)
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Weka mkono mmoja hewani
Na hii ingine ya makwapa
Njaa itatuua ndani ya nyumba zetu
Sanitizer (Sanitize)
Quarantine (Quarantine)
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Polisi inakuja Kibera
Inachapa mayout man
Marungu magoti makwapa
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)