Paroles de la chanson Corona par Padi Wubon

Chanson manquante pour "Padi Wubon" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Corona"

Paroles de la chanson Corona par Padi Wubon

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Yes man fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Poker fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Similizer fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Sholei fika kwako kabla ya saa kumi na mbili

Jack on the beat fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Slim fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Roberto msanii fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Afisa Mark B, kabla ya saa kumi na mbili

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Bwow! nifeel
Weka mkono mmoja hewani
Na hii ingine ya makwapa
Njaa itatuua ndani ya nyumba zetu

Sanitizer (Sanitize)
Quarantine (Quarantine)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment