Paroles de la chanson Nauelewa par Otile Brown

Chanson manquante pour "Otile Brown" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nauelewa"

Paroles de la chanson Nauelewa par Otile Brown

Inachohitaji moyo
Hata akili haiwezi baini
Ila cha mtima cha moyo
Hata kama sio kizuri

Kwako nazama mazima
Sioni siambiliki
Umekuchagua mtima
Dhamani yako haina kifani

It takes two tango
Sako kwa bako
Tena unikumbate usiache 
Mi wako peke yako

It takes two tango(Tango)
Sako kwa bako(Bako)
Tena unikumbate usiache 
Mi wako peke yako

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa(Nauelewa)

Sasa washa ndololi(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone 
Mmmh

Ng'amua Wema kwa Magu(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone(Washa)
Mmmh

Shingo Nyarwanda kigali(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone(Washa)
Mmmh

Mauno ya Uganda Kangu(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone(Washa)
Mmmh

It takes two tango(Tango)
Sako kwa bako(Bako)
Tena unikumbate usiache 
Mi wako peke yako

It takes two tango(Tango)
Sako kwa bako(Bako)
Tena unikumbate usiache 
Mi wako peke yako

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa(Nauelewa)

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa(Nauelewa)

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa(Nauelewa)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment