Paroles de la chanson Najua par Nimo (AF)

Chanson manquante pour "Nimo (AF)" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Najua"

Paroles de la chanson Najua par Nimo (AF)

(Alexis on the beat)

Kuna wakati ulifika
Mbingu ilinyamaza sana kwa maisha yangu
Nikataka kwenda mbali na mbingu
Mambo ya kusifu sikutaka tena

Nikashindwa Mungu wangu yuko wapi?
Tena nikawaza bingu yangu iko wapi?
Nikakumbuka matendo yako uliyoyatenda

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Nakutumainia Bwana aaah aaah
Nakutumainia Bwana oooh 

Na nikiwa kwa uwepo wako
Mi najua mimi nitapona tena 
Na nikiwa kwa mwanga wako
Mi najua mimi nitaona tena, iyaa ah

We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu
We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment