Paroles de la chanson Lini par Navy Kenzo

Chanson manquante pour "Navy Kenzo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Lini"

Paroles de la chanson Lini par Navy Kenzo

(Aika) :
Nakuthamini kama dolla
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora.....
Chochote unachotaka we hu decide
Kwenye mabaya we huni guide
You're my baby can't deny
Baby hmm

(Eeeh)
You got my spirit to rise I'm popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I'm a puppet (x2)

Itakuwa ni Lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi(what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody

(Alikiba)
Atokee kwa bibi
Amfunge vikali
Akipasi maujanja baby
Na me nitamkubali eh
Amfunze maujanja (ujanja ujanja)
Asiende kwa mganga(mganga mganga)
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea
Kama mtoto wa jana
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea lea lea Leeee..

Itakuwa ni Lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi(what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody

(Nahreel):
Kuna siri kubwa juu yako na mimi
Kukupata mpaka kuwa wangu my queen
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Si wajua mwanzo wako we na mimi yo
Kukupata mpaka kunijibu ndio
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Nikitaka Ile kitu baby wangu come now now now
Gimme some more baby now now now
Look at my eyes baby now now now
Sex in the morning now now now
Whine for me baby now now now
Bring it turn over
Don't blame me baby
Don't flex it baby
Don't fake it

Itakuwa ni Lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi(what is love...)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody (x2)

Nakuthamini kama dolla
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora (x2)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)