Paroles de la chanson Umenifaa par Nandy

Chanson manquante pour "Nandy" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Umenifaa"

Paroles de la chanson Umenifaa par Nandy

(Wanene)
Wakati wa shida, wakati wa shida
Huniepusha huniepusha mimi

Ni wewe ulinipa njia pasipo kuwa na njia
Ni wewe ulinipa chakula wakati wa njaa kali
Ni wewe ulinifuta machozi wakati wa huzuni
Ni wewe Baba aah

Ina mengi dunia na ina siri nzito
Hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
Kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
Furaha na faraja imenijia Yesu

Umenifaa, umenijaa, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 
Umejibu maombi yangu, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 

Umetarafu na matendo ya wanadamu 
Kwa neno la midomo yako
Umeniepusha na njia za wenye jeuri
Nyayo zangu zi kwako

Nitatengeneza nawe 
Nitajiimarisha nawe
Kwa kinywa changu nitakiri
Ulivyo uaminifu wako

Ina mengi dunia na ina siri nzito
Hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
Kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
Furaha na faraja imenijia Yesu

Umenifaa, umenijaa, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 
Umejibu maombi yangu, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 

Nipokee vumbi nifute
Nishike nisiaibika 
Nipokee vumbi nifute
Nishike nisiaibika 

Wakati wa shida, wakati wa shida
(Umeniepusha na mengi)
Wakati wa shida, wakati wa shida
Wakati wa shida, wakati wa shida
(Yesu unisaidie)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)