Paroles de la chanson Dozi par Nandy

Chanson manquante pour "Nandy" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Dozi"

Paroles de la chanson Dozi par Nandy

Shii! The African Princess
(It's S2kizzy beiby)

Yaani tushawaloga waloshika manyanga
Si walipaka powder na chale wakachanja
Na kwenye videnge udaku kwa madot ya kanga
Nawatupa kwenye uchafu kama ganda la karanga

Ooh yayeee
Imegeuka shilingi wanalia 
(Wameyamwaga)
Walidhani magimbi kumbe bia
(Wameyavaga)

So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo

Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwapi ulezi

(It's S2kizzy beiby)

Nikimake navimba kibaharia
Kamba kwa buti nakazia
Wakipiga kinuti napangua
Kwa kubwa washow wanakaliwa

Naitekenye kete
Wakipangua cheche
Miluzi makeke 
Mteja na kete

Saluti! Kuruti
Katekenye kacheka ka nyoti
Bunduki, Baruti!
Utapepea ka parachuti

So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo

Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwabembelezi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment