Paroles de la chanson Bado par Nandy

Chanson manquante pour "Nandy" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Bado"

Paroles de la chanson Bado par Nandy

(Aaah aaah...yeyeye aah)

Kuna maneno ya kusikia 
Sikupendi utaambiwa
Sio ishu ni hatari 
Usije ukayasikia

Mwenyewe umenisifia 
Mwendo wangu wa ngamia
Taratibu bwana darling 
Usije ukayasikia

Usije niacha wakati nakupenda sana
Eeh bwana we me nitapagawa 
Mambo madogo kelele za kusemezana
Nielewe mambo weka sawa

Usije niacha mwenzako ntamisi matukio wo wo wo
Kama ulaya wanavyofanyaga
Utanipa donda hapo hapo nikianzishe kilio wo wo wo 
Baba ubaya usije ni bwagaa 

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado) 
Lazizi (Bado)
Usininyime utamu (Bado)

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado)
Oooh wangu mimi (Bado)
Yeah yeah yeah

Hutumii vumio bwana 
Samaki sio supu ya nyanya
Mambo ng'ari ng'ari 
Hhabari zinapatikana

Na maneno ndo mengi sana 
Usishike moja tazama
Nipe vya asali kachumbari 
Pilipili Kwa sana

Usije niacha wakati nakupenda sana
Eeh bwana we me nitapagawa 
Mambo madogo kelele za kusemezana
Nielewe mambo weka sawa

Usije niacha mwenzako ntamisi matukio wo wo wo
Kama ulaya wanavyofanyaga
Utanipa donda hapo hapo nikianzishe kilio wo wo wo 
Baba ubaya usije ni bwagaa 

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado) 
Lazizi (Bado)
Usininyime utamu (Bado)

Nakupenda bado
Nakupenda bwana (Bado)
Oooh wangu mimi (Bado)
Yeah yeah yeah

Hutumii vumio bwana
Samaki sio supu ya nyanya
Mambo ng'ari ng'ari
Habari zinapatikana

(The African princess)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)