Paroles de la chanson Zungushie par Nadia Mukami

Chanson manquante pour "Nadia Mukami" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Zungushie"

Paroles de la chanson Zungushie par Nadia Mukami

Nadia , Maua sama
(Teddy B)

Unaipenda wapi sakafu ama juu kwa juu
Nikupe wapi mvunguni ama mtapanda juu
Walahi leo mpaka kilele (Mpaka kilele)
Nitampa nani kama si yeye (Kama si yeye?)

Nimekuwa na mgonjwa 
Njoo kwangu nikupe dawa
Mganga toka Sumbawanga
Natibu mapenzi ndo mimi hapa

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)
Nataka nimzungushie (Nimzungushie)
Jamani nimzungushie (Nimzungushie)
Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Yaani mautamu 
Yangu vinono anajinoma kwa mahaba
Mwalimu nampaga somo ndani
Mambo si haba

Amenipitisha, kanitikisa
Akinipa mwiba si nahama
Akinitouch na najimaliza
Kanifunga sitoki kwa mahaba

Kwa ubani nimzungushie
Yaani hata nazi mi nimvunjie
Nataka nimzungushie
Bigati the gati de nimzungushie

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)
Nataka nimzungushie (Nimzungushie)
Jamani nimzungushie (Nimzungushie)
Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Changanya kama karanga 
Huyu ashafanikiwa
Ananifuata kama kuku 
Kifaranga nimechanganyikiwa

Yaani kama unipeleke nyumbani
Unipe mapenzi sham sham
Mauno bila mifupa
Chumbani nikimnegua hadi tam tam yeah

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)
Nataka nimzungushie (Nimzungushie)
Jamani nimzungushie (Nimzungushie)
Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment