Paroles de la chanson Hadithi par Nacha

Chanson manquante pour "Nacha" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hadithi"

Paroles de la chanson Hadithi par Nacha

Heee tusimulie, mulie mulie
Heee tusimulie, mulie

Pindi nyie wadogo
Kuna visa viliibuka sio kidogo
Wizi nikasema hii ni Bongo
Mnajua ni nani (Babu wa Loliondo)
Vizuri, hajarudi Kristo
Na wakaibuka maana ya bi vituko
Na hata huko kwenu najua wapo
Nitajie mmoja tu (na Bi. Mvitoo..)

Eeh na wakachekesha
Zikaibuka kiki za BASATA
Kibamia kufungiwa mwisho wa hapa
Alafu za Rihana ruksa za kuzichapa
(aaah...)

Acheni pupa hadithi inaendelea bwana
Hadithi hadithi hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )
Hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )

Hadithi hadithi hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )
Hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )

Wakaibuka watu wa Bongo, watu wasiojulikana
Wakampiga na Liz wasiojulikana
Wakamteka na Roma wasiojulikana
Wakavunja beti Taifa
(hao ni simba bwana)

Wakasema hii siasa haina usawa
Wakajiunga unga ikawa ukawa
W-wakesi wengi ndo ushindi
Ila hakuna muda hato umoja hushinda wingi

Manje akafungwa, Yanga ikayumba
Wimbi la ushoga sio ni stori za kutungwa
Mange akashindwa maandamano yakapingwa
Na hii ndio Bongo, utayooshwa ukipinda
(aaah...)

Acheni pupa hadithi inaendelea bwana
Hadithi hadithi hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )
Hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )

Hadithi hadithi hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )
Hadithi
(utam kolea, uwongo njoo bwana, utam kolea )

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)