Paroles de la chanson Gwiji par Mwanafa

Chanson manquante pour "Mwanafa" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Gwiji"

Paroles de la chanson Gwiji par Mwanafa

Falsafa! 

Aaah MwanaFA, mkoi
Omeking okanga mi
Wewe ni Gwiji wa magwiji
Asiyekubali aumbe gunia yake
Lakini mimi Nyosh El Saadat

Nakuchukuliaga kama Mobutu Sese seko
Kuku mbendo wa zambanga lemahghshale 
Bossomba sseskule never ende never loose
MwanaFA legend, legend, legend

Naota ndoto hazina rangi
Naamka nazipaka
Watoto wa ki Swazi hawawezi kutwekea mipaka
Mungu ndo ametaka hiyo ungoka wa nyoko

Hakuna kiunzi hatuwezi ruka
Tushasukuma sana milango ila ndiko vuta
Niamini na ina funguka 
Mbwa mkali usikatize, waoni tunapita

Tunavuka kwa kamba madaraja yalovunjika
Mungu wetu halali wala haendi likizo
Hatuachi kumuomba na anafuta matatizo
Yakija tena naomba tena na Mungu anayafuta tena

Mioyo yetu iko safi, safi ile kinoma
Kifo kiniue au maumivu yanikomaze
Yote sawa ila ujinga usinipumbaze
Kila kiumbe ana njia yake, moyo una tamaa zake
Mbwa mpumbavu ndo anaweza mbekea ndege

Waite wamwone gwiji wajigambe
Waite waite waje wamwone ngwiji wajigambe
Waite wamwone gwiji wajigambe
Waite waite waje wamwone ngwiji wajigambe

Mi ni hustler baby that's what I do, I hustle
Shida zikwepeki ziko kukupima muscle
Zikutoe macho, zikutoe jasho
Zikupe akili na zikwandae kwa kesho

Jikaze mwana, usichukuliwe mateka
Kama unaachana na ya dunia we enda uandike talaka
Ukiomba mafanikio fahamu yanakuja na wivu
Havitengani havikai mbali kidevu na ndevu

Dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo
Sio magumu kama kuclean clean kwa bio
Kaka money kupa moyo umegusa tu button sio
Kuwa mpambanaji kama binamu yangu swiyo

Huu si mziki wa mafala ni mziki wa ma-titan
Unakweka kitako unaketi unakufundisha
Unafeel the passion zaidi ya Telemundo
Mapunch mengi yatatoucha akizima mdundo
Bye bye

Waite wamwone gwiji wajigambe
Waite waite waje wamwone ngwiji wajigambe
Waite wamwone gwiji wajigambe
Waite waite waje wamwone ngwiji wajigambe
 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)