Paroles de la chanson Utamu par Mr Seed

Chanson manquante pour "Mr Seed" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Utamu"

Paroles de la chanson Utamu par Mr Seed

(Alexis on the Beat)
Mr Seed again

Siogopi mawe
Hata wanipige nitabaki nawe
Ndani yako Yesu niko ndani
Huu mwili wangu ndio kanisani

Aah...aaah
Nikikuita unapatika yeah yeah
Aah...aaah
Kwa hizi vita we unashindaga yeah yeah

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho wowo

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu ooh aah
Kwa Yesu

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu eyaa
Kwa Yesu

Raha ya dunia nilijivunia
Kumbe yote vanity
Sasa najirudia uweze kunitumia 
Nisije jipata Kamiti

Ndani yako niko salama
Ndani yako sina lawama
Tukuka we ndio baba
Yote ulimaza kwa msalaba

Aah...aaah
Nikikuita unapatika yeah yeah
Aah...aaah
Kwa hizi vita we unashindaga yeah yeah

Aah...aaah
Nikikuita unapatika yeah yeah
Aah...aaah
Kwa hizi vita we unashindaga yeah yeah

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho wowo

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu ooh aah
Kwa Yesu

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu eyaa
Kwa Yesu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment