Paroles de la chanson Upo par Mr Seed

Chanson manquante pour "Mr Seed" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Upo"

Paroles de la chanson Upo par Mr Seed

Mr Seed again, Solomon Mkubwa

Mmmh tunakuamini daily 
Mmmh tunakungoja daily baba

Eeh na giza limejaa, angaza tukuone
Mmmh wagonjwa wamejaa shuka uwaponye
Eeh na giza limejaa, angaza tukuone
eeeh wagonjwa wamejaa shuka uwaponye

Wacha wajue kwamba upo(upo) 
Baba upo(baba upo)
Wacha wajue kwamba upo(upo) 
Baba upo 

Wewe upo ai,
Wewe upo  
Wewe upo mmmh
Wewe upo

Watu wanakuhitaji bwana
Watu wanakungoja
Kanisa linakugoja
Wanamuziki tunakungoja
Tunataka tuone mwangaza mbele yetu

Giza limejaa, 
Tunahitaji tuone mwanga
Wangonjwa wamejaa, 
wengine wanahitaji uponyaji

Oooh hakuna pesa hakuna job
Wengine wanahitaji wapate kazi
Tumekuamini wewe upo Mungu
Kwako tegemeo letu tumelala

Akili zetu zote ni kwako bwana
Wewe upo, wewe upo, wewe upo woo
Tunakujua wewe upo Mungu
Unatowanga watu chini unawaleta juu

Kumbuka huyu mama 
Anaye mgonjwa hospitalini
Kumbuka familia hii
Inakungoja bwana

Kanisa linakungoja
Tuone mwangaza mpya
Wanamuziki tunakungoja
Tuone mwangaza mpya

Wewe upo, wewe upo, wewe upo

Na giza limejaa, angaza tukuone
Wagonjwa wamejaa shuka uwaponye
Na giza limejaa, angaza tukuone
Wagonjwa wamejaa shuka uwaponye

Wacha wajue kwamba upo(upo) 
Baba upo(baba upo)
Wacha wajue kwamba upo(upo) 
Baba upo 

Wewe upo ai,
Wewe upo  
Wewe upo mmmh
Wewe upo

Upo Mungu wangu usiyesinzia
Upo Mungu wangu unayetujua
Seed, Mr Seed, unamjua kwa majina yake
Oooh upo, upo oooh

Tunakuamini Mungu
Hatutabaki jinsi tulivyo
Maisha yako hayatabiki jinsi ulivyo
Amen, Wewe Upo!
 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment