Paroles de la chanson Muacheni Diamond Platnumz par Mon Star

Chanson manquante pour "Mon Star" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Muacheni Diamond Platnumz"

Paroles de la chanson Muacheni Diamond Platnumz par Mon Star

Alianza kama utani
Mungu si adhumani sauti akajibu
Leo ni kipenzi cha watu
Sio mwingine ni Diamond

Alikuwa hatamaniki masikini
Alitafuta bila majibu
Lau sio mwingine eeh eh eh
Ni Diamond

Mungu hamtupi mja wake
Akamweka kwa nji yake
kwa vile alitafuta sana
Bila kukata tamaa

Hivi ni koo cha wengi
Na tunajivunia kumpata Diamond
Mmmh kimbilio la wengi
Ndoto zao akazishika Mondi

Akapata kidogo akaona sio kesi
Kamshika Mbosso, Rayvanny na Jeshi
Lavalava, Zuchu na tunawaona

Nikisema niseme yote nitamaliza vitabu
Kama misaada mingi hadi nashindwa kuhesabu
Na poleni kwa wanaowapa taabu
Hasa mkisieni ikipigwa baba lao
(Eeh Mondi Baba Lao)

Muacheni, ooh muacheni
Muacheni, ooh muacheni
Ooh muacheni, oh muacheni

Leo kila kona mtamsikia (Diamond)
Pande zote za dunia (Diamond)
Huenda ya cheka atafurahia (Diamond)

Dada zetu wanamzimia
Mixer mimba kumsingizia
Skendo kibao wanamzushia aah aah

Na wapo walosema mengi kumhusu yeye
Wala hajibu
Wengine wanaweka ligi
Kushindana naye huyu bwana Naseeb

Nikisema niseme yote nitamaliza vitabu
Kama misaada mingi hadi nashindwa kuhesabu
Na poleni kwa wanaowapa taabu
Hasa mkisieni ikipigwa baba lao
(Eeh Mondi Baba Lao)

Muacheni, ooh muacheni
Muacheni, ooh muacheni
Ooh muacheni, oh muacheni

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment