Paroles de la chanson Haina Maana par Mimi Mars

Chanson manquante pour "Mimi Mars" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Haina Maana"

Paroles de la chanson Haina Maana par Mimi Mars

Nijipoze na nini?
Moyo mi unanipwita pwita
Nakunywa ananisahau
Bado yanakita kita

Kila siku kwanini?
Kwangu mapicha picha
Aah sina angalau

Naonyesha kujali aone napenda 
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama 
Kuruhusu kichwani aniingie

Nikaacha kujali 
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie 
Aaah nazama 
Na kwa yote nilotenda kwake

Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana

Kujishusha hata kama hanikosei
Na bado msamaha nimwombe
Kuzidisha upole nisiongee
Na bado yanidode

Na kama sina sina bahati 
Naacha kupenda
Manoti noti 
Mashachoka maumivu ya kutenda
Na kama sistahili naacha

Naonyesha kujali aone napenda 
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama 
Kuruhusu kichwani aniingie

Nikaacha kujali 
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie 
Aaah nazama 
Na kwa yote nilotenda kwake

Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment