Paroles de la chanson Unitue par Mimah

Chanson manquante pour "Mimah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Unitue"

Paroles de la chanson Unitue par Mimah

Kunicharizia kila kona kila mtaa (Unitue)
Umebeti na mimi Mimah maajabu sina (Unitue)
Kufunua dera kucheza chura kawaida (Unitue)
Vipi unitangazie Mimah heshima sina

Mi singer eeh, najichubua 
Pesa zangu mwenyewe matumizi kunipangia
Nisivae nijajitanua
Eti pesa kidogo ushaanza kutuvimbia

Ushoga kusengenyana sitaki
Kugombania mabwana sitaki
Mi kujifanya unanijua sana sitaki
Vitu kidogo kurogana sitaki

Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana
Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana

Kuniuliza mambo nisiyoyajua
Baba Levo nalo timi na nyanya bonge la pua
Nikikonda nina ngoma nikinenepa nanunua dozi
Mnaanza wenyewe mkimaliza mi siokoti

Sina wowowo, nina matege
Inanistiri wigi jogoo kama maiti ya bunge
Ninavaa kigodoro, mie mchoyo
Kwanza nina madeni nadaiwa mpaka kiroo

Ushoga kusengenyana sitaki
Kugombania mabwana sitaki
Mi kujifanya unanijua sana sitaki
Vitu kidogo kurogana sitaki

Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana
Nyota sina, hela sina
Na bwana ninaye ringia tumeachana

Watoto wa Mbaghala, kinondoni na Masaki
Kunipatapata nakataa mi sitaki
Watoto wa Ilara, Mbunguruni na Shamanzi
Kunipatapata nakataa mi sitaki

Watoto wa Mbaghala si mnaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
Watoto wa Buza si mnaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 

Mashalove si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
Isma Sergent si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
We Wanjala si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 
We my si unaweza
Njoo katikati piga msamba funua dera 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment