Paroles de la chanson Naumia Moyo par Meja Kunta

Chanson manquante pour "Meja Kunta" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Naumia Moyo"

Paroles de la chanson Naumia Moyo par Meja Kunta

(Ngatale Music)
Ooh...Aah..ooh...aaah

Eti mwenzenu nampenda
Ananizungua
Mi naumia moyo 
Na nafsi kaja kujua

Mwambieni nampenda
Ananizungua
Mi naumia moyo 
Na nafsi kaja kujua

Basi mi nampenda, ananizingua
Mwenzenu nampenda, ananizingua
Na mi ndo nampenda, ananizingua
Mwenzenu nampenda, ananizingua

Na haswa nampenda, ananizingua
Mwenzenu nampenda, ananizingua
Na mi ndo nampenda, ananizingua
Mwenzenu nampenda, ananizingua

Basi mama o, mama o mama o
Mi mwenzako navyocheza inaniuma roho
Eti mama o, mama o mama o
Mpaka chini unavyokata unaniacha hoi

Eti mama o, mama o mama o
Mi mwenzako navyocheza inaniuma roho
Ah roho, mi naumia na moyo
Na mama moyo, mi naumia na moyo

Na mama moyo, na unauma moyo
Na mama moyo usiuchezee moyo

Niko tayari kwa lolote nipate furaha
Nasema nelli ndo wangu shujaa
Macho sioni pembeni amenishika bingwa wa raha
Bashasoso ninii maji izidi kujaa
Na nilonacho sisemi 
Naogopa wanaume wa Dar

Bashasoso nini maji izidi kujaa
Na ye ndo mama wa roho
Sema roho, ah roho
Ye ndo mama wa roho, aah roho
Sema roho, ah roho

Basi mama o, mama o mama o
Mi mwenzako navyocheza inaniuma roho
Eti mama o, mama o mama o
Mpaka chini unavyokata unaniacha hoi

Eti mama o, mama o mama o
Mi mwenzako navyocheza inaniuma roho
Ah roho, mi naumia na moyo
Na mama moyo, mi naumia na moyo

Na mama moyo, na unauma moyo
Na mama moyo usiuchezee moyo

Eti mama niliamini dawa ya mrembo upendo
Huenda sikuamini kama ungevunja pendo
Mimi mwanzo niliamini kama ndo wangu mrembo 
Unaonidhamini na hutoi skendo

Hata kumbe naliamini 
We wala hauna upendo
Basi niulize mimi
Nani ataidhamini mimi
Ooh jamani niulize mimi
Nani ataidhamini mimi

Oh jamani kugombana mi siwezi naogopa
Na nilijikaza nitete mapenzi mkanitosa kwanini
Kwanini? Wala hunipendi unaongopa
Mi mwenzako kwako hata siwezi toka
Kwani huwaga mpini nimeshinda ooh
Na wakaniacha nikafanya yao
Kwani huwaga mpini nimeshinda ooh
Na wakaniacha nikafanya yao

So usinije mimi, kimbombare mama
Kimbombare tena 
Kimbombare mama, Kimbombare tena 
Kimbombare mama, Kimbombare tena 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment